Header Ads

UFAHAMU MTI WA MLONGE NA FAIDA ZAKE KATIKA KUTIBU MAGONJWA

Mlonge kwa kiswahili au Moringa oleifera kwa kiingereza umekuwa ukijulikana kama mti wa maajabu.

Faida za mlonge zimeandikwa na majarida ya afya na lishe kadhaa duniani. Kile ulikuwa hujuwi ni kuwa viwanda na makampuni mengi ya dawa za hospitalini yamekuwa yakitumia virutubishi vilivyomo kwenye mti huu kutengenezea madawa kwa ajili ya binadamu na wanyama.

MLONGE UNA:

*Kalsiamu mara 17 zaidi ya ile ya maziwa ya ng’ombe
*Potasiamu mara 15 zaidi ya ile ya kwenye ndizi
*Una vitamini A mara 10 zaidi ya ile ya kwenye karoti
*Una protini nyingi mara 9 zaidi ya ile ya kwenye mtindi (Yogurt)
*Una Klorofili (kemikali ya rangi ya kijani ipatikanayo katika mimea) mara 4 zaidi ya ile ya kwenye nyasi au majani ya ngano (wheatgrass)
*Una madini chuma (iron) mara 25 zaidi ya yale ya kwenye Spinach
*Una vitamini A mpaka Z,
*Una Omega 3, 6, na 9
*Una asidi amino zile mhimu zaidi zinazohitajika na mwili
*Una kiasi cha kutosha cha madini ya Zinc ambayo ni madini mhimu katika kuongeza homoni za kiume na nguvu za kiume kwa ujumla

MLONGE NDICHO CHAKULA CHENYE AFYA ZAIDI KULIKO CHAKULA KINGINE CHOCHOTE JUU YA ARDHI;

Mlonge una jumla ya virutubishi 92, mmea au mti mwingine wenye virutubishi vingi baada ya mlonge una virutubishi 28. Mlonge una viondoa sumu 46 na viondoa uvimbe mbalimbali mwilini 36, una asidi amino 18 na asidi amino mhimu zaidi 9 ambazo miili yetu haina uwezo wa kuzitengeneza.

Unga wa majani ya mlonge unao uwezo wa kutibu magonjwa zaidi ya 300 mwilini, magonjwa hayo ni pamoja na;

1. Huko Afrika magharibi madaktari hutumia mlonge kutibu Kisukari
2. Huko India mlonge hutumika kutibu shinikizo la juu la damu
3. Hutibu matatizo au maumivu ya mishipa
4. Hutuliza mapigo ya juu ya moyo (stroke),
5. Hutibu Kansa
6. Pumu
7. Hutibu UTI
8. Kikohozi
9. Maumivu ya kichwa
10. Hutibu Kipindupindu.

Mlonge unasafisha mwili wako wote, unasafisha ini, figo, moyo, macho, unaimarisha meno, ngozi na nywele. Wakati unatumia mlonge unakufanya ujisikie vizuri, ujisikie mpya (fresh) na mwenye nguvu. Watu wengi wanaotumia mlonge huwa ni wenye afya nzuri hata kwa muonekano tu hata wanapokuwa na umri mkubwa zaidi ya miaka 90.

Majani ya mti wa mlonge pia yanaweza kutumika kutengeneza biogas (aina ya nishati ya umeme inayotokana na kinyesi cha ng’ombe au takataka). Hutumika pia kama chakula cha wanyama kama sungura, mbuzi, ng’ombe, mbwa nk. Sungura wanaonekana kupenda zaidi mlonge kuliko wanyama wote.

MBEGU ZA MLONGE:

1. Mbegu zake hutumika kama kiuaji sumu na pia hutibu uvimbe. Hutibu maumivu ya kwenye mishipa, baridi yabisi, gauti, kukamaa mishipa, magonjwa ya ngono na majipu. Mbegu hizi hukaangwa kidogo, hupondwapondwa na kuchanganywa na mafuta ya nazi na kupakwa sehemu yenye tatizo.

2. Mbegu za mlonge zilizokaangwa na mafuta yake husaidia watu wanaoshindwa kuzalisha mkojo.

3. Mbegu zake hutumika pia kumtuliza au kumfanya mtu mwenye kifafa a-‘relax’.

4. Mbegu za mti wa Mlonge ni kinga dhidi ya vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi ikiwemo fangasi.

5. Pia mbegu hutumika katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa kwenye maji yenye tope au machafu husababisha uchafu kujikusanya na kuzama chini kisha kuacha maji yakiwa safi na salama kwa kupikia au kunywa badala ya kuchemsha.

6. Mbegu za mlonge pia huongeza kwa kiasi kingi kinga ya mwili (CD4), Kama una tatizo la kinga ya mwili wako kushuka basi tumia mbegu za mlonge kwa mwezi mmoja mpaka mitatu na kinga yako itaimarika sana.

Chukuwa punje 3 na uzimenye ganda lake la juu na utafune mbegu ile ya ndani yote hizo tatu na ukimaliza kuzitafuna kunywa maji ya kawaida siyo ya kwenye friji glasi 2 (nusu lita), fanya hivi kutwa mara tatu.




No comments

Education

Sports

Technology

Business

Music

Travel

Technology

Pictures

Featured Post Via Labels

Featured Slides Via Labels

Featured Posts Via Labels

More on

Popular Posts

Featured

Fashion

Travel

Design

Movies

Gallery

Beauty

ABOUT THIS BLOG

About us

Popular Posts

Follow Us @soratemplates

Beauty

Fashion

Movies

Recent Videos

Movies

News

  • Latest News

    News

    Header Ad Widget

    favourite Posts

    Accessories[combine]

    Photos[carousel](6)

    Menu :

    [Music][vertical2][recent][4]

    Powered by Blogger.

    Simple social

    About

    AD (728x90)

    [Graphic Design][horizontal][recent][5]

    [simplepost][simple][recent][5]

    Looped Slider

    Top Ad 728x90

    Top Ad 728x90

    Top Ad 728x90

    Top Ad 728x90

    Search This Blog

    Find Us On Facebook

    Video of Day

    Random Posts

    Social Share

    Design

    Shooting

    Column Right

    Sale off[right]

    Followers

    Don't Miss

    Video

    Widget

    Slider

    Slide Show

    Camera is a responsive/adaptive slideshow. Try to resize the browser window
    It uses a light version of jQuery mobile, navigate the slides by swiping with your fingers
    It's completely free (even though a donation is appreciated)
    Camera slideshow provides many options to customize your project as more as possible
    It supports captions, HTML elements and videos.

    Music

    Find Us On Facebook

    Pages

    About Us

    Pages

    Populars

    Breaking News

    Top Featured

    [blogger]

    Breaking

    Fashion

    Top Featured

    Contact Form

    Name

    Email *

    Message *

    Footer Label

    NEWS DAILY 360

    Home of News, Sports , Musics

    Visitor

    Culture

    Accordition

    Comments

    [Latest News][6]

    About Me

    Home of News, Sports , Musics

    Video of Day

    Recent Comments

    Popular Posts